Psalms 130:4-8


4 aLakini kwako kuna msamaha,
kwa hiyo wewe unaogopwa.


5 bNamngojea Bwana, nafsi yangu inangojea,
katika neno lake naweka tumaini langu.

6 cNafsi yangu inamngojea Bwana
kuliko walinzi waingojeavyo asubuhi,
naam, kuliko walinzi
waingojeavyo asubuhi.


7 dEe Israeli, mtumaini Bwana,
maana kwa Bwana kuna upendo usiokoma,
na kwake kuna ukombozi kamili.

8 eYeye mwenyewe ataikomboa Israeli
kutoka dhambi zao zote.
Copyright information for SwhKC